1. Sauti ya Mchungaji, ninasikia jangwani,
Kondoo waliopotea anwaita warudi.
Leteni, leteni, leteni toka dhambini;
Leteni, leteni, waleteni kwa Yesu.
2. Nani atakeyekwenda amsaidie Mchungaji,
Awarudishe zizini, wasife bure gizani?
3. Usikose kusikis sauti ya Mchungaji,
“Kondoo waliopotea nwnda na kuwatafuta.”